Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 2:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Adoniya akamwambia, “Unajua kwamba mimi ningalikuwa mfalme, na hata Israeli yote ilikuwa inanitazamia niwe mfalme. Lakini, mambo yakageuka na ndugu yangu akanipindua, kwani hayo ndio yaliyokuwa mapenzi yake Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 2

Mtazamo 1 Wafalme 2:15 katika mazingira