Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Adoniya mwana wa Hagithi, alimwendea Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamwuliza, “Je, unakuja kwa amani?” Adoniya akamjibu, “Ndiyo, nakuja kwa amani.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 2

Mtazamo 1 Wafalme 2:13 katika mazingira