Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 19:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Elia akaamka, akala na kunywa. Kisha akatembea kwa nguvu ya chakula hicho mwendo wa siku arubaini, mchana na usiku, mpaka Horebu, mlima wa Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 19

Mtazamo 1 Wafalme 19:8 katika mazingira