Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 19:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Elisha akamwacha Elia, akairudia jozi yake ya ng'ombe, akawachinja ng'ombe hao na kuwapika akitumia miti ya nira kama kuni, akawapa watu, wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Elia na kuwa mtumishi wake.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 19

Mtazamo 1 Wafalme 19:21 katika mazingira