Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 18:4 Biblia Habari Njema (BHN)

na wakati Yezebeli alipowaua manabii wa Mwenyezi-Mungu, Obadia aliwachukua manabii 100, akawaficha hamsinihamsini pangoni, akawa anawapelekea chakula na maji).

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18

Mtazamo 1 Wafalme 18:4 katika mazingira