Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 18:34-36 Biblia Habari Njema (BHN)

34. Kisha akawaambia, “Rudieni tena.” Nao wakafanya hivyo mara ya pili. Naye akawaambia, “Fanyeni hivyo tena mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo.

35. Maji yakatiririka chini pande zote za madhabahu, hata yakajaa mtaroni.

36. Mnamo alasiri, wakati wa kutoa tambiko, nabii Elia aliikaribia madhabahu, akaomba, “Ee Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo, waoneshe watu leo hii kwamba wewe ndiwe Mungu wa Israeli, na kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya kwa amri yako.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18