Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Elia akawaambia watu, “Sogeeni karibu nami.” Wao wakamkaribia. Kisha Elia akaijenga upya madhabahu ya Mwenyezi-Mungu iliyokuwa imebomolewa.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 18

Mtazamo 1 Wafalme 18:30 katika mazingira