Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 13:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mzee wa Betheli akamwambia, “Mimi pia ni nabii kama wewe, na Mwenyezi-Mungu amenena nami kwa njia ya malaika akisema, ‘Mrudishe nyumbani kwako, ale chakula na kunywa maji.’” Lakini huyo nabii mzee alikuwa anamdanganya tu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 13

Mtazamo 1 Wafalme 13:18 katika mazingira