Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 13:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, palikuwa na nabii mmoja mzee huko Betheli. Wanawe wakamwendea, wakamweleza mambo yote aliyotenda yule mtu wa Mungu siku hiyo, huko Betheli; wakamwambia pia yale maneno yule mtu aliyomwambia mfalme Yeroboamu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 13

Mtazamo 1 Wafalme 13:11 katika mazingira