Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 13:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku moja Yeroboamu alikuwa amesimama kando ya madhabahu ili afukize ubani. Basi, mtu wa Mungu kutoka Yuda akawasili hapo Betheli na ujumbe wa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 13

Mtazamo 1 Wafalme 13:1 katika mazingira