Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Solomoni alitenda maovu mbele ya Mwenyezi-Mungu, wala hakufuata kwa ukamilifu matakwa ya Mwenyezi-Mungu kama baba yake Daudi alivyokuwa amefanya.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:6 katika mazingira