Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:40 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa sababu hiyo, Solomoni alijaribu kumuua Yeroboamu; lakini Yeroboamu akakimbilia Misri kwa Shishaki mfalme wa Misri, akakaa huko mpaka Solomoni alipofariki.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:40 katika mazingira