Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Nitafanya hivyo kwa sababu Solomoni ameniacha, akaabudu miungu ya kigeni: Ashtarothi mungu wa kike wa Wasidoni, Kemoshi, mungu wa Wamoabu na Milkomu mungu wa Waamoni. Solomoni ameniasi, ametenda maovu mbele yangu, na wala hakutii sheria zangu na maagizo yangu kama Daudi baba yake alivyofanya.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:33 katika mazingira