Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:31 Biblia Habari Njema (BHN)

halafu akamwambia Yeroboamu, “Jitwalie vipande kumi maana Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, asema hivi: ‘Tazama, karibu nitaurarua ufalme na kuuondoa mikononi mwa Solomoni, nami nitakupa wewe makabila kumi.’

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:31 katika mazingira