Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeroboamu alionekana kuwa kijana hodari na shujaa. Ndipo Solomoni alipoona kwamba huyo kijana alikuwa mwenye bidii, akamweka awe msimamizi wa kazi za kulazimishwa zilizofanywa na watu wa ukoo wa Yosefu.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:28 katika mazingira