Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya Daudi kufanya mauaji huko Soba, Rezoni alikusanya watu na kuunda genge la maharamia, naye mwenyewe akawa kiongozi wao. Basi, wakaenda Damasko, wakakaa huko na kumfanya Rezoni mfalme wa Damasko.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:24 katika mazingira