Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:2 Biblia Habari Njema (BHN)

wanawake wa mataifa ambayo Mwenyezi-Mungu alikuwa amewakataza Waisraeli akisema, “Msioe kwao wala wao wasioe kwenu kwa sababu wanawake hao watapotosha mioyo yenu ili muitumikie miungu yao.” Solomoni aliwapenda sana wanawake hao.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:2 katika mazingira