Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Hadadi na wenzake walisafiri kutoka Midiani, wakawachukua watu wengine huko Parani, wakaenda nao mpaka Misri, kwa Farao mfalme wa nchi hiyo. Farao akampatia Hadadi nyumba, akaamuru awe akipewa chakula, akampa na ardhi.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:18 katika mazingira