Agano la Kale

Agano Jipya

1 Wafalme 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo Mwenyezi-Mungu akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa umeamua kufanya hivyo, ukavunja agano langu nawe, na kuasi amri zangu nilizokupa, hakika nitakunyanganya huo utawala na kumpa mtumishi wako.

Kusoma sura kamili 1 Wafalme 11

Mtazamo 1 Wafalme 11:11 katika mazingira