Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 9:9 Biblia Habari Njema (BHN)

(Hapo awali katika Israeli kama mtu akitaka kumwomba Mungu shauri, alisema, “Haya, njoo, twende kwa mwonaji.” Kwani mtu anayeitwa nabii siku hizi hapo awali aliitwa mwonaji).

Kusoma sura kamili 1 Samueli 9

Mtazamo 1 Samueli 9:9 katika mazingira