Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 9:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakawatafuta kwenye nchi ya milima ya Efraimu na eneo la Shalisha, lakini hawakuwaona huko. Halafu wakafika Shalimu, na huko hawakuwaona. Wakawatafuta katika nchi ya Benyamini, hata hivyo hawakuwapata.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 9

Mtazamo 1 Samueli 9:4 katika mazingira