Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 9:27 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika mwisho wa mji, Samueli akamwambia Shauli, “Mwambie huyo kijana atangulie mbele yetu.” Kijana alipokwisha ondoka, Samueli akaendelea kusema, “Ngoja kidogo, nami nitakufunulia yale aliyosema Mungu.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 9

Mtazamo 1 Samueli 9:27 katika mazingira