Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 9:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mpishi akaenda akaleta paja na sehemu ya nyama iliyokuwa upande wa juu wa paja hilo na kuviweka mbele ya Shauli. Ndipo Samueli akamwambia Shauli, “Tazama kile ulichowekewa; sasa kimewekwa mbele yako. Sasa ule kwa sababu kimewekwa kwa ajili yako ili upate kula pamoja na wageni.”Hivyo, Shauli akala pamoja na Samueli siku hiyo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 9

Mtazamo 1 Samueli 9:24 katika mazingira