Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 8:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Atajichagulia wengine wawe makamanda wa vikosi vyake vya maelfu na wengine wawe makamanda wa vikosi vya watu hamsinihamsini. Atawafanya wengine wamlimie mashamba yake na kuvuna mazao yake. Atawafanya wengine pia wamtengenezee zana za vita, na wengine wamtengenezee vipuli vya magari yake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 8

Mtazamo 1 Samueli 8:12 katika mazingira