Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 7:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akawaambia Waisraeli, “Kama mnamrudia Mwenyezi-Mungu kwa moyo wenu wote, ni lazima mwondoe kati yenu miungu ya kigeni na sanamu za Ashtarothi. Mwelekeeni Mwenyezi-Mungu kwa moyo wote, na kumtumikia yeye peke yake; naye atawaokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 7

Mtazamo 1 Samueli 7:3 katika mazingira