Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 7:16-17 Biblia Habari Njema (BHN)

16. Kila mwaka Samueli alitembelea Betheli, Gilgali na Mizpa, na kuwaamua Waisraeli katika miji hiyo yote.

17. Kisha, alikuwa akirudi Rama, maana huko kulikuwa nyumbani kwake; aliwaamulia Waisraeli haki zao huko, na kumjengea Mwenyezi-Mungu madhabahu huko.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 7