Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, watu wa Kiriath-yearimu wakaenda na kulichukua sanduku la Mwenyezi-Mungu, wakalipeleka nyumbani kwa Abinadabu, aliyeishi milimani. Wakamweka wakfu mtoto wake wa kiume aliyeitwa Eleazari ili alitunze sanduku hilo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 7

Mtazamo 1 Samueli 7:1 katika mazingira