Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Bali angalieni, ikiwa gari hilo linakwenda moja kwa moja kuelekea nchi yake yaani kwenye mji wa Beth-shemeshi, basi, hapo tutajua kuwa aliyetuletea tauni hii ni Mungu wa Israeli. Lakini kama haliendi huko, basi, tutajua kuwa sio mkono wake uliotupiga, bali maafa haya yametupata kwa bahati mbaya.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:9 katika mazingira