Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Hilo gari lilielekea kwenye shamba la Yoshua, mkazi wa Beth-shemeshi. Lilipofika hapo likasimama karibu na jiwe kubwa. Watu wakalibomoa lile gari, wakatumia mbao zake kwa kuwateketeza hao ng'ombe ambao waliwatoa kama sadaka ya kuteketezwa kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:14 katika mazingira