Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 6:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao ng'ombe walikwenda moja kwa moja kuelekea mji wa Beth-shemeshi bila kupinda kushoto au kulia, na walikuwa wanalia walipokuwa wanakwenda. Wale wafalme watano wa Wafilisti waliwafuata hadi mpakani mwa Beth-shemeshi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 6

Mtazamo 1 Samueli 6:12 katika mazingira