Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu aliwaadhibu vikali na kuwatisha watu wa Ashdodi. Aliwaadhibu, hata na majirani zao, kwa kuwaletea ugonjwa wa majipu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 5

Mtazamo 1 Samueli 5:6 katika mazingira