Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 5:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini, kesho yake asubuhi walipoamka, waliona kuwa sanamu ya Dagoni imeanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Mwenyezi-Mungu, kichwa, miguu na mikono ya sanamu hiyo, vyote vilikuwa vimekatika, vikawa vimelala chini kwenye kizingiti cha mlango. Kiwiliwili cha sanamu ya Dagoni ndicho tu kilikuwa kimebakia.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 5

Mtazamo 1 Samueli 5:4 katika mazingira