Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 5:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha wakatuma ujumbe na kukusanya wakuu wa Wafilisti na kuwaambia, “Lirudisheni sanduku la Mungu wa Israeli mahali pake, ili lisituue sisi pamoja na watu wetu.” Walifanya hivyo kwa sababu kulikuwa na hofu kubwa katika mji mzima kwa sababu Mungu alikuwa anawaadhibu vikali.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 5

Mtazamo 1 Samueli 5:11 katika mazingira