Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 4:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, walituma watumishi huko Shilo, nao wakalileta sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu wa majeshi ambaye anakaa kifalme juu ya viumbe wenye mabawa. Wale watoto wawili wa kiume wa Eli, Hofni na Finehasi walikuja pamoja na lile sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 4

Mtazamo 1 Samueli 4:4 katika mazingira