Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 4:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena ilitokea kwamba, mkwewe Eli, yaani mke wa Finehasi, wakati huo alikuwa mjamzito, na muda wake wa kujifungua ulikuwa umekaribia. Aliposikia kwamba sanduku la agano la Mungu limetekwa na kwamba baba mkwe wake, hata na mumewe wamefariki, mara moja alipata utungu, na kujifungua.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 4

Mtazamo 1 Samueli 4:19 katika mazingira