Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 31:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Nao Waisraeli waliokuwa upande wa pili wa bonde, na wengine waliokuwa upande wa mashariki wa mto Yordani walipoona kuwa Waisraeli wamekimbia, naye Shauli na wanawe wamekufa, waliihama miji yao, wakakimbia. Wafilisti wakaenda na kukaa katika miji hiyo.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 31

Mtazamo 1 Samueli 31:7 katika mazingira