Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 30:27-31 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Zawadi hizo zilikuwa kwa ajili ya wakazi wa Betheli, wakazi wa Ramothi katika Negebu, wakazi wa Yatiri,

28. wakazi wa Aroeri, wakazi wa Sifmothi, wakazi wa Eshtemoa,

29. wakazi wa Rakali, wakazi wa miji ya Wayerameeli, wakazi wa miji ya Wakeni,

30. wakazi wa Horma, wakazi wa Borashani, wakazi wa Athaki,

31. na wakazi wa Hebroni. Daudi aliwapelekea pia wakazi wa miji yote ambako yeye na watu wake walitembelea.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30