Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 30:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Pia Daudi aliyarudisha makundi yote ya kondoo na ng'ombe, na watu wake wakawa wanaswaga wanyama hao wakiwatanguliza mbele ya wanyama wale wengine wakisema, “Nyara za Daudi.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:20 katika mazingira