Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 30:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku ya tatu baadaye, Daudi na watu wake wakarudi Siklagi. Waamaleki walikuwa wamekwisha shambulia Negebu pamoja na mji wa Siklagi na kuuteketeza kwa moto.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 30

Mtazamo 1 Samueli 30:1 katika mazingira