Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 3:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli naye alikuwa amelala ndani ya hekalu la Mwenyezi-Mungu karibu na sanduku la agano la Mungu. Taa ya Mwenyezi-Mungu ilikuwa bado inawaka kwani kulikuwa hakujapambazuka.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 3

Mtazamo 1 Samueli 3:3 katika mazingira