Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 29:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Akishi akamwita Daudi na kumwambia, “Naapa kwa Mwenyezi-Mungu aliye hai, kwamba umekuwa mwaminifu kwangu. Lingekuwa jambo jema kwangu twende wote vitani, kwa maana sijaona lolote baya kwako tangu siku ile ulipokuja kwangu hadi leo hii. Hata hivyo, wakuu hawajaridhika nawe.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 29

Mtazamo 1 Samueli 29:6 katika mazingira