Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 28:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Shauli akajigeuza na kuvaa mavazi mengine, akaenda huko pamoja na watu wake wawili. Walifika kwa huyo mwanamke usiku, akamwambia, “Nitabirie kwa pepo, umlete duniani yeyote nitakayekutajia.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 28

Mtazamo 1 Samueli 28:8 katika mazingira