Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 28:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huu, Samueli alikuwa amekwisha fariki, na Waisraeli wote walikuwa wamekwisha mwombolezea na kumzika katika mji wake Rama. Shauli alikuwa amewafukuza kutoka nchini watabiri na wachawi.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 28

Mtazamo 1 Samueli 28:3 katika mazingira