Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 28:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Samueli akamwambia Shauli, “Kwa nini unanisumbua kwa kunileta juu?” Shauli akamjibu, “Mimi nina taabu kubwa! Wafilisti wanapigana vita dhidi yangu, na Mungu amenipa kisogo; hanijibu tena kwa njia ya manabii wala kwa ndoto. Ndio maana nimekuita unijulishe la kufanya.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 28

Mtazamo 1 Samueli 28:15 katika mazingira