Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 28:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya muda fulani, Wafilisti walikusanya majeshi yao tayari kwenda kupigana na Waisraeli. Akishi akamwambia Daudi, “Uelewe vizuri kwamba wewe na watu wako mnapaswa kwenda pamoja nami kupigana vita.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 28

Mtazamo 1 Samueli 28:1 katika mazingira