Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 26:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akatoka, akaenda mahali Shauli alipopiga kambi. Akapaona mahali ambapo Shauli alikuwa amelala na Abneri mwana wa Neri, kamanda wa jeshi la Shauli, alikuwa amelala karibu na Shauli. Shauli alikuwa amelala katikati ya kambi huku akizungukwa na jeshi lake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 26

Mtazamo 1 Samueli 26:5 katika mazingira