Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 26:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, sasa bwana wangu mfalme, usikie maneno ya mtumishi wako. Ikiwa Mwenyezi-Mungu ndiye aliyekuchochea uje dhidi yangu, basi, na apokee tambiko itakayomfanya abadili nia yake. Lakini kama ni watu, basi, Mwenyezi-Mungu na awalaani watu hao kwani wamenifukuza kutoka urithi aliotupa Mwenyezi-Mungu wakisema, ‘Nenda ukaitumikie miungu mingine.’

Kusoma sura kamili 1 Samueli 26

Mtazamo 1 Samueli 26:19 katika mazingira