Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 26:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadhi ya wanaume kutoka mji wa Zifu walimwendea Shauli huko Gibea wakamwambia kwamba Daudi alikuwa anajificha kwenye mlima Hakila, upande wa mashariki wa Yeshimoni.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 26

Mtazamo 1 Samueli 26:1 katika mazingira