Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 25:39 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, alisema, “Atukuzwe Mwenyezi-Mungu ambaye amemlipiza kisasi Nabali kwa kunitukana, naye Mwenyezi-Mungu ameniepusha mimi mtumishi wake kutenda maovu. Mwenyezi-Mungu amempatiliza Nabali kwa uovu wake.” Kisha Daudi alituma watu ili wamposee Abigaili awe mke wake.

Kusoma sura kamili 1 Samueli 25

Mtazamo 1 Samueli 25:39 katika mazingira