Agano la Kale

Agano Jipya

1 Samueli 25:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, Daudi akapokea vitu vyote ambavyo Abigaili alikuwa amemletea, akamwambia Abigaili, “Rudi nyumbani kwako kwa amani. Tazama, mimi nimeyasikia uliyoyasema, na ombi lako nimelipokea.”

Kusoma sura kamili 1 Samueli 25

Mtazamo 1 Samueli 25:35 katika mazingira